Mgombea Ubunge wa Arumeru Mashariki kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA , Joshua Nassari ametangazwa rasmi kuwa mshindi wa jimbo hilo kwa kunyakua asilimia 72.60 za kura zote.
> WALIOJIANDIKISHA: 160,647 ni 100%
> WALIOPIGA KURA: 119,399 sawa na Asilimia 74.32%
Kulikuwa na wagombea 6, Mmoja alitokomea na form yake bila kurudi, Mmoja alijitoa kwenye kinyang'anyiro hicho na kufanya kubakia na wagombea wa vyama vinne ACT , CCM, CHADEMA na AFC.
JIMBO LA ARUMERU
WALIOJIANDIKISHA
|
100%
|
|
WALIOPIGA
KURA
|
74.32%
|
|
KURA
HALALI
|
Hazijatajwa
|
-
|
KURA
ZILIZOHARIBIKA
|
Hazijatajwa
|
-
|
MATOKEO:
#
|
CHAMA
|
KURA
|
ASILIMIA
|
1
|
ACT
|
622
|
0.52
|
2
|
AFC
|
236
|
0.19
|
3
|
CCM
|
31,847
|
75.00
|
4
|
CHADEMA
|
86,694
|
72.60*
|
Hivyo hata mwisho imeonyesha kuwa hata katika ngazi ya Uraisi UKAWA imeibwaga CCM katika jimbo hilo la Arumeru Mashariki kwa zaidi ya kura 50,000.
Sign up here with your email