TB JOSHUA aja kushuhudia Magufuli akiapishwa.

TB JOSHUA awasiri Rasmi Tanzania kuhudhuria Kuapishwa kwa Ndugu yake wa karibu Dk. John Pombe magufuli. Ambaye ndiye Rais mteule anaye tarajiwa kuapishwa Alhamisi tarehe 5/11/2015 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na TB Joshua kutoka Nigeria wakati alipowasiri kutoka Nigeria 

Rais John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake kutoka Nigeria, TB Joshua baada ya kushuka katika ndege aliyoshuka nayo kutoka Nigeria
Dr. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake TB Joshua baada ya kuwasiri Nchini Tanzania akitokea Nigeria

Previous
Next Post »
Show Comments: OR

Contact us

Name

Email *

Message *

Tangaza nasi

Tangaza nasi
Freebango.com