Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa,
akihutubia Wananchi kwenye Mkutano wa Kampeni, Uliofanyika eneo la
Namanga, Jimbo la Longido, Jijini Arusha jana Oktoba 7, 2015.
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa,
akiwapungia wananchi wa Jimbo la Longido, wakati alipowasili kwenye
Viwanja vya Namanga, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni, jana Oktoba 7,
2015.
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa,
akisalimiana na baadhi ya Watoto wa Mji wa Namanga.
Sehemu ya Umati wa Wananchi wa Mji wa
Namanga katika Jimbo la Longido Jijini Arusha, ukiwa umefurika kwa wingi
katika Uwanja wa Namanga, wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa
UKAWA, Mh. Edward Lowassa, anaeendelea kunadi sera zake katika maeneo
mbali mbali hapa nchini.
Sign up here with your email