![]() |
| Anthony Martial |
Manchester wemishia kumsajili Anthony Martial licha ya kuwa alikuwa anahitajika na vilabu tofauti vilivyopanda dau zaidi ya wana Old Trafford, ambaye kaanza msimu kwa kishindo.
Tetesi zinasema kwamba Manchester United walitaka msajili
mshambuliaji nyota wa Bayern Munich Thomas Muller katika dirisha la
usajili liliisha na walikua wako tayari kulipa dau lolote lile. Louis
van Gaal na uongozi walikua wako tayari kulipa gharama yoyote ile
kukamilisha uhamisho huo.
Manchester waliishia kumsajili Anthony Martial ambaye kaanza msimu
kwa kishindo, Japo Martial watu walisema dau ni kubwa lakini ameshaanza
kulipa gharama zake kwa usajili.
Mpaka sasa Martial mwenye miaka 19, amefunga magoli yake 6 katika mechi zote alizocheza katika msimu huu akiwa England na kuonyesha kasi yake nzuri sana anapokuwa uwanjani.
Sign up here with your email
