Hawa ndio watahiniwa wetu usiku huu katika finali ya BSS ambapo washiriki hawa sita wataingia katika jukwaa ili kutetea ushindi wa Tsh. Milioni 60, ambapo Milion 50 atakabidhiwa mkononi na Milion kumi itakuwa ni kwa ajili ya usimamizi wa muziki kutoka kwa wasimamizi wa Tip Top Connection wanaosimamia muziki wa Diamond Platnumz, Yamoto Band, Madee n.k.
Naseeb Fonabo BSS103
Jackline Kakengi BSS118
Frida Amani BSS102
Kelvin Gerson BSS 110
Kayumba Juma BSS 116
Angel Marry Kato BSS 106
Mshindi ataenda kupatikana baada ya mchujo wa live perfomance kwakila mshiriki mpaka atakapo bakia Mshindi wa BSS 2015.
Je! Unataka kumjua ... Baasi Mpigie kura mshiriki wako ilia ashinde.!
Sign up here with your email