Kampuni ya Tigo yaadhimisha wiki ya huduma kwa wateja

Mtaalam wa huduma kwa wateja wa Tigo Jackson Jerry akiongea na wafanyakazi na wateja wa Tigo mara baada ya ufunguzi wa duka la Tigo lililokarabatiwa makao makuu ya Tigo Makumbusho ikiwa sehemu ya kuadhimisha  wiki ya huduma kwa mteja.


Msimamizi mkuu wa Duka la Tigo Makumbusho Gissela Akaro akimkabidhi mteja wa Tigo, Gideon Mapunda mkazi wa Mbezi Luis fulana ikiwa sehemu ya kuadhimisha  wiki ya huduma kwa mteja.


Picha zikionyesha wateja wakisubiri huduma za tigo.



Show Comments: OR

ConversionConversion EmoticonEmoticon

:)
:(
=(
^_^
:D
=D
=)D
|o|
@@,
;)
:-bd
:-d
:p
:ng

Contact us

Name

Email *

Message *

Tangaza nasi

Tangaza nasi
Freebango.com