Lowassa ahutubia maelfu jimboni kwake Babati Monduli

Mheshimiwa Lowassa akimnadi Mbunge wa jimbo hilo kwa Tiketi ya CHADEMA

Mgombe wa Uraisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Ngoyai Lowassa, akiwahutubia wananchi wa Jimbo la Babati Mjini, katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Kwaraha, Babati Mkoani Manyara leo Oktoba 2, 2015. Baada ya kuwasiri kwake jimboni hapo jana tar 2 Oktoba 2015 na kuwasalimu, huku akisisitiza kuingia ikulu kwa kishindo. 







Previous
Next Post »
Show Comments: OR

Contact us

Name

Email *

Message *

Tangaza nasi

Tangaza nasi
Freebango.com