LOWASSA Aongoza wananchi kutoa heshima za mwisho za marehemu Dkt.Emmauel John Makaidi aliyekuwa Mwenyekiti chama cha NLD. Marehemu alizaliwa tarehe 10 April,1941 katika kijiji cha Mvita ,kata ya Namalenga Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara.
Mh.Edward
Lowassa akitoa heshima za mwisho katika jeneza liloweka mwili wa Shujaa
wa Mabadiliko Dkt.Emmanuel Mkaidi katika viwanja vya karimjee jijini
Dar -es- Salaam leo Oct 20,2015.
Mke
wa Mh.Edward Lowassa Mma Regina akisalimi na mjane wa Dkt Mkaidi katika
msiba wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Dkt. Emmanuel Makaidi katika viwanja
vya karimjee Oct 20,2015.
Mh.Mmbowe
Mwenyekiti wa Chadema wakisalimiana na katibu mkuu wa TFF Selestine
Mwesigwa mara baada ya kutoa heshma za mwisho wa pili kutoka kushoto ni
msajili wa vyama vya Siasa Francisi Mtungi.
Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA, Mh. Edward Lowassa akimpa mkono Mjane wa Dkt. Makaidi katika tukukio hilo.
Picha zote na Niccomediatz blog.
Sign up here with your email