![]() |
| Askofu Olaf Charamsa |
Siku moja kabla mkutano wa Vatikani
wa maaskofu wa kanisa Katoliki kuhusu familia, kasisi mmoja wa daraja
ya juu, amedhihirisha kuwa yeye ni kati ya watu wanaopendelea uhusiano
wa jinsia moja, na sasa ana mpenzi.
Msemaji wa Vatikani, alisema
Kryzsztov Olaf Charamsa ambaye anatoka Poland, hawezi tena kuwa katika
ofisi ya Vatikani inayotetea itikadi ya Kikatoliki.
Papa Charamsa alisema msimamo wa Kanisa hilo kuhusu jamii ya jinsia moja ni wa kizamani.
Alisema, kanisa linafaa kutambua maingiliano ya jinsia moja, na siyo kuyalaani.
Sign up here with your email
