MAGOLI YALIYOFUNGWA MECHI YA ATLETICO MADRID DHIDI YA REAL MADRID (1 - 1)

Hebu tazama mahasimu hawa walivyo umana na kutoka sare ya goli moja kwa moja. Goli la kuongoza lilifungwa na Benzema baada ya kupokea Mpira mrefu upande wa kulia mwa uwanja na kuunganisha kwa kupiga kichwa kizuri kilichomshinda golikipa wa Atletico Madrid


Baadaye dak 83 Mchezaji wa atletico madrid Luciano Vietto akasawazisha goli hilo na kufanya watoke sare ya kufungana goli moja kwa moja.


Tazama video hapa chini jinsi magoli hayo yalivyopatikana katika mechi hiyo ya kipekee

                                                            Mwisho: Atletico Madrid 1 - 1 Real Madrid
Previous
Next Post »
Show Comments: OR

Contact us

Name

Email *

Message *

Tangaza nasi

Tangaza nasi
Freebango.com