Jumapili hii mahasimu hawa wawili watakuwa wanakipiga ndani ya EMIRATES stadium, ambapo kila mmoja ya mameneja wa hizi timu wamekuwa wakitambiana kuchukua ushindi katika mtanange huo.
Je! Unajua timu gani itakwenda kushinda?
Tuma maoni yako hapo chini..!!
Sign up here with your email