Mwanasiasa mashuhuri nchini na Mwenyekiti wa Chama Cha DP
Mch.Christopher Mtikila amefariki dunia na watu wengine watatu
kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea katika kijiji cha Msolwa
kilichopo Chalinze mkoani Pwani asubuhi ya leo. Kamanda wa Polisi Mkoa
wa Pwani, Jafari Mohamed, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema
kuwa "Taarifa za mwanzo" zinasema Mtikila amefariki majira ya saa 11:45
asubuhi ya leo katika kijiji cha Msolwa, Chalinze.
Amesema gari alilokuwa amepanda Mtikila lilikuwa linatoka mkoani
Morogoro kwenda Dar es Salaam, ndani ya gari hilo kulikuwa na watu
wanne ambapo wengine watatu wamejeruhiwa vibaya na kupelekwa katika
Hospitali ya Tumbi iliyopo Kibaha Pwani Kwa habari zaidi endelea
kufuatilia habari zetu tutakujuza hivi.
Picha ya Marehem Mtikila baada ya ajali
Kwa habri zaidi endelea kufuatilia habri zetu Tzyako.blogspot.com
Chanzo:Global Publisher
Gari iliyokuwa imembeba Marehem Mtikila
Picha ya Marehem Mtikila baada ya ajali
Kwa habri zaidi endelea kufuatilia habri zetu Tzyako.blogspot.com
Chanzo:Global Publisher
Sign up here with your email